Rihanna alivyoibuka kwenye mechi ya Juventus dhidi ya Atletico Madrid

Ni Headlines za mwimbaji wa kike kutokea nchini Marekani aitwae Rihanna ambae jana alifika uwanjani kushuhudia mchezo wa Juventus dhidi ya Atletico Madrid
Ambapo mpira ulimalizika ndani ya dakika 90 ulikwisha Juventus 1-0 Atletico, Rihanna alionekana uwanjani akiwa na pochi ya Louis Vuitton yenye thamani ya paundi  Elfu 2000 ambazo ni sawa na milioni 5 za kitanzania.
 

Comments

Popular posts from this blog

Heshima aliyopewa Nipsey Hussle na waandaji tuzo za Grammy’s 2019

Pamoja na kupoteza Samatta ana wastani mzuri wa magoli Champions League